Oft times I write with my own blood in pain,a quick release of freedom to express well,the woes of past and present by views train;while my fancies unbar from my soul’s hall.
If you hate to think, you are not different from some who is peeing on his academic certificates. The goal of education is to help you to think and lead.
Ukiwaza kitu kwa dakika moja na sekunde nane – huu ni utafiti wangu tu – hicho kitu kitaanza kujiumba kwa ajili yako sehemu fulani ulimwenguni. Ukiamini kwa kiasi cha kutosha kwamba umekipata, utakipata. Haijalishi kama una elimu au huna. Hiyo ndiyo siri kubwa zaidi ya utajiri kuliko zote duniani – MAWAZO YAKO.